forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
491 B
Markdown
20 lines
491 B
Markdown
# ardhi hiyo ilipouzwa
|
|
|
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "alipoiuza hiyo ardhi"
|
|
|
|
# kurejesha kwa mtu aliyemuuzia fedha iliyosalia
|
|
|
|
Hii yaweza kuwekwa wazi. : "kuilipa hiyo fedha kwa mnunuzi aliyeinunu hiyo ardhi ambayo angekuwa amishailipa"
|
|
|
|
# mwaka wa Yubile
|
|
|
|
Tazama lilivyotafsiriwa katika sura 25:10
|
|
|
|
# ardhi itarejeshwa
|
|
|
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Yule aliyeinunua hiyo ardhi atairejesha"
|
|
|
|
# atarejea kwenye mali yake
|
|
|
|
"atarudi kwenye ardhi yake"
|