forked from WA-Catalog/sw_tn
380 B
380 B
Labda mtasema
"Mtasema" hapa humaanisha watu wa Israeli.
Nitaiamru baraaka yangu ije juu yenu
Mungu anaiongelea baraka yake kana kwamba ilikuwa mtu amabye angeweza kumtii yeye. "Nami nitaituma baraka yangu juu yenu" au "Nami nitawabariki ninyi"
kutoka kwenye riziki iliyohifadhiwa
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "kutoka katika chakula mlichohifadhi"