forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
661 B
Markdown
12 lines
661 B
Markdown
# Usilete mkate wa Mungu wako
|
|
|
|
"Kate" hapa huwakilisha chakula kwa ujumla. Mungu hakula dhabihu hasa. Makuhani wangetoa dhabihu juu ya madhabahu ya Mungu, na wangekula sehemu ya nyama. : "hataleta mnyama kuwa matoleo ya chakula kwa Mungu wenu"
|
|
|
|
# Kutoka mkononi mwa mgeni
|
|
|
|
Neno "mkono" huwakilisha mtu mzima. Inaonyeshwa kwamba Waisraeli wasingeweza kutumia wanyama kama dhabihu iwapo wangewanunua kutokwa wageni ambao walihasi wanyama wao wakifanya wasikubalikekwa Mungu. : "ambaye mgeni amewapa , kwa sababu wao huhasi wanyamaa wao"
|
|
|
|
# hawatapokelewa kabisa kwa ajili yako
|
|
|
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Yahweh hatawapokea kutoka kwenu"
|