forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
352 B
Markdown
12 lines
352 B
Markdown
# Maelezo kwa Ujumla
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa yawapasayao watu kutenda.
|
|
|
|
# Mtazitunza amari zangu na kuzifuta
|
|
|
|
Yale maneno "tunza" na "fuata" kimsingi humaanisha kitu kimoja. Yametumika pamoja ili kusisitiza kwamba ni lazima watu wamtii Mungu.
|
|
|
|
# hakika mtu huyo atauawa
|
|
|
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. :"Yapasa kuua hakika"
|