forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
844 B
Markdown
24 lines
844 B
Markdown
# Pia nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu huyo
|
|
|
|
KIle kirai "kaza uso wangu dhidi" ni nahau inayomaanisha "kumkata." : "Pia Nitamkataa" au "kumpinga vikali'
|
|
|
|
# amemtoa mtoto wake
|
|
|
|
"amemtoa dhabihu mtoto wake"
|
|
|
|
# ili kupatia unajisi mahali pangu patakatifu na kulinajisi jina langu takatifu
|
|
|
|
"na kwa kufanya hivyo, ampachafua mahali pangu patakatifu na kulinajisi jina langu takatifu.
|
|
|
|
# najisi jina langu takatifu
|
|
|
|
Jina la Mungu humwakilisha Mungu na heshima yake. : "dunisha heshima yangu" au "kiunivunjia heshima mimi"
|
|
|
|
# watayafumba macho yao kwa
|
|
|
|
Kile kirai "kufumba macho yao" huashiria "hawawezi kuona" na huwakilisha kutokuwa na uwezo wa kuelewa kwao. : "kutojali" au "puuzia"
|
|
|
|
# ajifanyaye kahaba ili kufanya umalaya na Molek
|
|
|
|
Kirai hiki huwafananisha na kahaba wale wasiokuwa waaminifu kwa Yahweh. ; "yeye asiyekuwa mwaminifu kwa Yahweh"
|