forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
602 B
Markdown
24 lines
602 B
Markdown
# Yapasa atoke kwenda nje na kwenda kwenye madhabahu hapo mbele za Yahweh
|
|
|
|
Hii ni madhabahu ya dhabihu iliyo ndani ya uwanda wa hema
|
|
|
|
# kufanya upatanisho kwa ajili ya hiyo
|
|
|
|
Kama lilivyo eneo la hema la kukutania, madhabahu nayo ni najisi kwa sababu ya dhambi za watu.
|
|
|
|
# pembe za madhabahu
|
|
|
|
Tazama maelzo ya sura 4:6
|
|
|
|
# ili kuitakasa
|
|
|
|
Tazama maelezo ya sura 13:23
|
|
|
|
# kuitenga kwa ajili ya Yahweh, mbali na matendo ya unajisi ya watu wa Israeli.
|
|
|
|
Madhabahu kuwa imetengwa kwa imezungumziwa kana kwamba ilikuwa imetengwa na dhambi za watu kimaumbile
|
|
|
|
# matendo ya unajisi
|
|
|
|
Tazama maelezo ya sura 13:20
|