forked from WA-Catalog/sw_tn
602 B
602 B
Yapasa atoke kwenda nje na kwenda kwenye madhabahu hapo mbele za Yahweh
Hii ni madhabahu ya dhabihu iliyo ndani ya uwanda wa hema
kufanya upatanisho kwa ajili ya hiyo
Kama lilivyo eneo la hema la kukutania, madhabahu nayo ni najisi kwa sababu ya dhambi za watu.
pembe za madhabahu
Tazama maelzo ya sura 4:6
ili kuitakasa
Tazama maelezo ya sura 13:23
kuitenga kwa ajili ya Yahweh, mbali na matendo ya unajisi ya watu wa Israeli.
Madhabahu kuwa imetengwa kwa imezungumziwa kana kwamba ilikuwa imetengwa na dhambi za watu kimaumbile
matendo ya unajisi
Tazama maelezo ya sura 13:20