forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
385 B
Markdown
16 lines
385 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kiwapasacho watu kutenda.
|
|
|
|
# Atamleta huyo fahali
|
|
|
|
"Kuhani atamleta huyo fahali"
|
|
|
|
# ataweka mikono yake juu ya kichwa chake
|
|
|
|
Tazama maelezo ya sura 1:3 uone lilifasiriwa.
|
|
|
|
# Kuhani mpakwa mafuta atachukua sehemu ya damu
|
|
|
|
Inaonyesha kwamba kuhani aliikinga kwanza damu kwenye bakuli ilipokuwa inachuruzika kutoka kwa huyo mnyama.
|