forked from WA-Catalog/sw_tn
385 B
385 B
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kiwapasacho watu kutenda.
Atamleta huyo fahali
"Kuhani atamleta huyo fahali"
ataweka mikono yake juu ya kichwa chake
Tazama maelezo ya sura 1:3 uone lilifasiriwa.
Kuhani mpakwa mafuta atachukua sehemu ya damu
Inaonyesha kwamba kuhani aliikinga kwanza damu kwenye bakuli ilipokuwa inachuruzika kutoka kwa huyo mnyama.