forked from WA-Catalog/sw_tn
827 B
827 B
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kwamba watu hao na makuhani yawapasa wafanye hivyo ili sadaka zao ziweze kukubalika kwake
Hakutakuwa na sadaka ya nafaka utoayo kwa Yahweh itakayofanyizwa kwa hamira
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Usitumie hamira kwenye sadaka ya nafaka uitoayo kwa Yahweh"
kuwa sadaka ifanywayo kwa moto
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "kuwa sadaka ya kuteketeza
Nawe utazitoa
"Nawe utazitoa sadaka za nafaka zilizo na hamira au asali"
hazitatumika kuleta harufu ya kupendeza itolewayo juu ya madhabahu
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. ; "utazitumia kuleta harufu ya kupendeaza juu ya madhabahu" au "hutaziteketeza juu ya madhabu"
chumvi ya agano la Mungu wako
Huashiria kwamba chumvi ni ishara inayowakilisha agano la Mungu.