forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
827 B
Markdown
24 lines
827 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kwamba watu hao na makuhani yawapasa wafanye hivyo ili sadaka zao ziweze kukubalika kwake
|
||
|
|
||
|
# Hakutakuwa na sadaka ya nafaka utoayo kwa Yahweh itakayofanyizwa kwa hamira
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Usitumie hamira kwenye sadaka ya nafaka uitoayo kwa Yahweh"
|
||
|
|
||
|
# kuwa sadaka ifanywayo kwa moto
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "kuwa sadaka ya kuteketeza
|
||
|
|
||
|
# Nawe utazitoa
|
||
|
|
||
|
"Nawe utazitoa sadaka za nafaka zilizo na hamira au asali"
|
||
|
|
||
|
# hazitatumika kuleta harufu ya kupendeza itolewayo juu ya madhabahu
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. ; "utazitumia kuleta harufu ya kupendeaza juu ya madhabahu" au "hutaziteketeza juu ya madhabu"
|
||
|
|
||
|
# chumvi ya agano la Mungu wako
|
||
|
|
||
|
Huashiria kwamba chumvi ni ishara inayowakilisha agano la Mungu.
|