sw_tn/lam/05/19.md

616 B

kiti chako cha enzi

"nguvu yako na mamlaka ya kutawala kama mfalme"

vizazi na vizazi

"wakati wote"

Kwanini unatusahau milele? Kwanini unatutelekeza kwa siku nyingi?

"ni kama vile utatusahau milele au usiturudie kwa kipindi kirefu"

Fanya upya siku zetu kama zilivyo kuwa hapo zamani

"Fanya maisha yetu mazuri, kama yalivyo kuwa" au "Fanya tuwe wakuu kama tulivyo kuwa"

vinginevyo labda uwe umetukataa na una hasira kwetu kupita kiasi

Maana inayo wezekana ni 1) mwandishi ana ogopa kwamba Yahweh anaweza kuwa na hasira asiwarejeshe au 2) anasema kuwa Yahweh ana hasira hadi hawezi kuwarejesha (UDB)