sw_tn/lam/05/01.md

591 B

Maelezo ya Jumla

Shairi lipya la anzu.

Kumbuka

"Fikiria kuhusu"

uone aibu yetu

"angalia hali ya aibu tuliyo nayo"

Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni

"Umeruhusu wageni kuchukua "

nyumba zetu kwa wageni

"umeruhusu wageni wachukuwe mali za urithi wetu"

Tumekuwa yatima ... mama zetu ni kama wajane

Watu wa Yerusalemu hawana mtu wa kuwalinda kwasababu wanaume wamekufa vitani au wameenda matekani.

Lazima tulipe fedha kwa maji tunayo kunywa

"Lazima tulipe fedha kwa maadui zetu ili tunywe maji yetu"

tulipe fedha kupata mbao zetu

"maadui zetu wanatuuzia mbao zetu"