sw_tn/lam/04/12.md

483 B

Wafalme wa dunia hawaku amini, wala wakazi wa dunia,

"Hakuna mtu popote aliye amini"

maadui au wapinzani

Haya maneno mawili yana maana moja na yanakazia kuwa hawa ni watu waliyo waliyo tamani kudhuru Yerusalemu.

dhambi za manabii na maasi ya makuhani

Hii mistari miwili ina maanisha kitu kimoja na kukazia kuwa hawa viongozi wa kiroho walikuwa wanahusika na kuanguka kwa Yerusalemu.

walio mwaga damu ya wenye haki

Wote makuhani na manabii walikuwa na hatia ya mauaji.