forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
483 B
Markdown
16 lines
483 B
Markdown
|
# Wafalme wa dunia hawaku amini, wala wakazi wa dunia,
|
||
|
|
||
|
"Hakuna mtu popote aliye amini"
|
||
|
|
||
|
# maadui au wapinzani
|
||
|
|
||
|
Haya maneno mawili yana maana moja na yanakazia kuwa hawa ni watu waliyo waliyo tamani kudhuru Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# dhambi za manabii na maasi ya makuhani
|
||
|
|
||
|
Hii mistari miwili ina maanisha kitu kimoja na kukazia kuwa hawa viongozi wa kiroho walikuwa wanahusika na kuanguka kwa Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# walio mwaga damu ya wenye haki
|
||
|
|
||
|
Wote makuhani na manabii walikuwa na hatia ya mauaji.
|