forked from WA-Catalog/sw_tn
425 B
425 B
Yahweh alionyesha gadhabu yake yote; alimwaga hasira yake kali
Yahweh alikuwa na hasira sana, na amefanya kila kitu alichotaka kufanya kuonyesha alikuwa na hasira.
alimwaga hasira yake kali
Hasira ya Mungu ni kama moto, maji ya moto anayo mwaga.
Aliwasha moto Sayuni
Hii inaweza maanisha 1) hasira ya Mungu ni kama moto uliyo haribu Yerusalemu, au 2) kwamba Mungu alisababisha maadui wa chome Yerusalemu kwa moto.