sw_tn/lam/04/11.md

425 B

Yahweh alionyesha gadhabu yake yote; alimwaga hasira yake kali

Yahweh alikuwa na hasira sana, na amefanya kila kitu alichotaka kufanya kuonyesha alikuwa na hasira.

alimwaga hasira yake kali

Hasira ya Mungu ni kama moto, maji ya moto anayo mwaga.

Aliwasha moto Sayuni

Hii inaweza maanisha 1) hasira ya Mungu ni kama moto uliyo haribu Yerusalemu, au 2) kwamba Mungu alisababisha maadui wa chome Yerusalemu kwa moto.