forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
382 B
Markdown
20 lines
382 B
Markdown
# Hao walio uawa kwa upanga
|
|
|
|
"Hao wanajeshi maadui waliyo waua
|
|
|
|
# hao walio kufa kwa njaa
|
|
|
|
"hao walio umwa na njaa hadi mauti"
|
|
|
|
# walio potea
|
|
|
|
"hao waliyo kuwa wembamba na wadhaifu kwasababu walikuwa wana kufa kwa njaa"
|
|
|
|
# wakatobolewa kwa ukosefu wa mavuno shambani
|
|
|
|
Ukosefu wa chakula unazungumziwa hapa kama ni upanga.
|
|
|
|
# Mikono ya wanawake wenye huruma
|
|
|
|
"wanawake wenye huruma"
|