sw_tn/lam/04/09.md

382 B

Hao walio uawa kwa upanga

"Hao wanajeshi maadui waliyo waua

hao walio kufa kwa njaa

"hao walio umwa na njaa hadi mauti"

walio potea

"hao waliyo kuwa wembamba na wadhaifu kwasababu walikuwa wana kufa kwa njaa"

wakatobolewa kwa ukosefu wa mavuno shambani

Ukosefu wa chakula unazungumziwa hapa kama ni upanga.

Mikono ya wanawake wenye huruma

"wanawake wenye huruma"