forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
693 B
Markdown
24 lines
693 B
Markdown
# Viongozi wake walikuwa wasafi kuliko theluji
|
|
|
|
Maana inayo wezekana; 1) "Viongozi wetu walikuwa wazuri kutazama awali" (UDB) kwasababu walikuwa wenye afya kimwili au 2) watu waliwapenda viongozi wao kwasababu viongozi walikuwa wasafi kimatendo jinsi theluji na maziwa yalivyo meupe.
|
|
|
|
# Viongozi wake
|
|
|
|
Viongozi wa Yerusalemu
|
|
|
|
# yakuti samawi
|
|
|
|
jiwe la gharama linalo tumika kwenye mikufu
|
|
|
|
# Muonekano wao umekuwa mweusi kama giza
|
|
|
|
Hii ya weza maanisha 1) jua limefanya ngozi za viongozi kuwa nyeusi au 2) moshi kutoka kwenye moto ulio choma Yerusalemu umefunika nyuso zao.
|
|
|
|
# hawatambuliki
|
|
|
|
"Hakuna anaye weza kuwatambua"
|
|
|
|
# imekuwa kavu kama kuni
|
|
|
|
kwasababu hawana chakula cha kutosha na maji
|