sw_tn/lam/04/03.md

350 B

mbwa wa mitaani wanatoa maziwa yao kuwanyonyesha watoto wao

Hii ina maana kuwa mbwa wa mitaani wa kike kwa uhuru wanaruhusu watoto wao kunyonya.

mbwa wa mitaani

mbwa wa kali, wa katili wa wanyama wa chafu

binti wa watu wangu

Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, ambalo hapa la zungumziwa kama ni mwanamke. Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:11