sw_tn/lam/02/08.md

467 B

binti wa Sayuni

Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, ambalo la zungumziwa hapa kama mwanamke.

Amenyoosha kamba ya kipimo

"Amepima urefu wa ukuta" hivyo anajua kiasi cha kuharibu

hajauzuia mkono wake kutoharibu

"Ameharibu kwa kutumia nguvu zake zote"

hajauzuia mkono wake

"ameuweka mkono wake kwake"

Amefanya minara na ukuta kuomboleza; pamoja vilipotea

"Kwasababu ameharibu minara na kuta, inaonekana kama watu wanao omboleza na kupoteza nguvu"