sw_tn/lam/02/03.md

631 B

Maelezo ya Jumla

Mwandishi anaendelea kutumia mifano kuelezea upizani wa Mungu kwa Yuda.

amekata kila pembe ya Israeli

Hapa "pembe" (ambalo ni, pembe la mnyama) lina maana ya "uweza"

Ameurudisha mkono wake

"ameacha kutulinda na maadui zetu"

amepindisha upinde wake kuelekea kwetu

Mwanajeshi alipaswa kupindisha upinde wake ili kuupiga.

hema la binti wa Sayuni

"nyumba za watu Yerusalemu"

binti wa Sayuni

Kuna jina la kishairi la Yerusalemu, ambalo linazungumziwa hapa kama mwanamke.

Amemwaga gadhabu yake kama moto

"ameonyesha jinsi alivyo na hasira kwa kuwa haribu kila kitu kama mtu anavyo washa moto"