forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
582 B
Markdown
20 lines
582 B
Markdown
# kwa kuwa nipo kwenye ugumu
|
|
|
|
Yerusalemu anaendelea kujizungumzia kama ni mwanamke, lakini sasa anazungumza moja kwa moja na Yahweh.
|
|
|
|
# tumbo langu lina nguruma
|
|
|
|
Neno "nguruma" la maanisha kuangaika kwa nguvu, kawaida kwa mzunguko. Hii haimanishi kiuhalisia, lakini ndivyo linavyo jisikia.
|
|
|
|
# moyo wangu umetibuka ndani yangu
|
|
|
|
"moyo wangu umevunjika" au "nina majonzi sana"
|
|
|
|
# upanga umemliza
|
|
|
|
Upanga una husu adui, na "chukuwa" yamanisha "kuua" "adui anaua"
|
|
|
|
# ndani ya nyumba kuna mauti tu
|
|
|
|
Maana inayo wezekana ni 1) katika nyumba, kila mtu ana kufa au 2) nyumba ni kama kaburi.
|