sw_tn/lam/01/18.md

355 B

nimeas

Hapa Yerusalemu anaanza kuzungumza tena, kama alikuwa mwanamke.

muone uzuni wangu

"ona jinsi gani nilivyo na majonzi"

Mabikra wangu na wanaume wangu hodari

"watu wangu wengi"

wanaume hodari

Ona jinsi ulivyo tafsiri 1:15

walikuwa na hila kwangu

"wali ni saliti"

kurejesha uhai wao

"kuokoa maisha yao" au "kurejesha uweza wao"