forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
476 B
Markdown
24 lines
476 B
Markdown
# Uzuri umemwacha binti wa Sayuni
|
|
|
|
"Kila kitu kilicho kuwa kizuri cha binti wa Sayuni kimeharibiwa"
|
|
|
|
# binti wa Sayuni
|
|
|
|
Hili ni jina
|
|
|
|
# kama ayala ambaye haoni malisho
|
|
|
|
Watoto wa mfalme wanaliganishwa na swala asiye kuwa na kitu cha kula.
|
|
|
|
# ayala
|
|
|
|
Ayale ni mnyama wa umbo la kati, anaye kula majani ambaye mara nyingi uwindwa na wanadamu. Pia ni mnyama mzuri wa kumtazama.
|
|
|
|
# bila uwezo kwa
|
|
|
|
"lakini sio imara sana kukimbia kutoka"
|
|
|
|
# wanao wakimbiza
|
|
|
|
"mtu anaye wakimbiza"
|