forked from WA-Catalog/sw_tn
476 B
476 B
Uzuri umemwacha binti wa Sayuni
"Kila kitu kilicho kuwa kizuri cha binti wa Sayuni kimeharibiwa"
binti wa Sayuni
Hili ni jina
kama ayala ambaye haoni malisho
Watoto wa mfalme wanaliganishwa na swala asiye kuwa na kitu cha kula.
ayala
Ayale ni mnyama wa umbo la kati, anaye kula majani ambaye mara nyingi uwindwa na wanadamu. Pia ni mnyama mzuri wa kumtazama.
bila uwezo kwa
"lakini sio imara sana kukimbia kutoka"
wanao wakimbiza
"mtu anaye wakimbiza"