sw_tn/jud/01/09.md

964 B

maelezo ya jumla

Balaamu ni Nabii aliye kataa kulahani Israel kwa ajiili ya adui lakini akamfundisha huyo adui kuwafanya watu waoe wasio amini na wawe waabudu sanamu.

maelezo ya jumla

Kora alikuwa ni muIsraeli aliye asi uongozi wa Musa na ukuhani wa Aruni.

bishana kuhusu mwili

walibishana juu ya nani atachukua milki ya mwili. "bishana kuhusu nani angechukua milki ya mwili."

Mikaeli...hakuthubutu kuleta kinyume naye

"Mikaeli...alijizuia mwenyewe kumkemea ibilisi

hukumu au kuleta maneno ya matusi

"upinzani wa nguvu au maneno yasiyo na heshima"

Lakini watu hawa

"watu hawa" ni watu waovu waliotajwa mapema.

tusi mambo yote ambayo hawayaelewi

"kuongea pasipo heshima kinyume na chochote ambacho hawakijui maana yake"

njia ya Kaini

Kaini alimuua kaka yake Abeli.

kosa la Balaam kwa ajili ya mshahara

Balaamu alijaribu kulaani Israeli kwa ajili ya pesa.

uasi wa Kora

Kora aliasi dhidi ya uongozi wa Musa na ukuhani wa Aron.