sw_tn/jud/01/05.md

752 B

kauali unganishi

Yuda antoa mifano ya kale ya wale ambao hawakumfuata Bwana.

Ngpenda kuwakumbusha

"Ninataka ninyi mkumbuke"

mnajua kila kitu

Yuda hasa anarejea kwenye maandiko ya Musa ambayo wamekwisha kufundishwa. Tafsiri mbadala: "mnayajua maandiko ya Musa."

Bwana aliwaokoa mara moja watu kutoka nchi ya Misri

"Bwana aliwaokoa Waisraeli hapo zamani kutoka Misri"

lakini baadaye

"muda ulivyo endelea " au " baada ya jambo fulani kutokea"

enzi yao wenyewe

"nafasi zao" au "majukumu yaliowekwa kwao"

wakaacha wakazi yao maalum

"waliacha nafasi zao wenyewe"

Mungu amewaweka katika vifungo vya milele katika giza

"Mungu amewafunga malaika hawa ndani ya giza"

siku ile kuu

siku ya mwisho ambayo Mungu huukumu watu wote