sw_tn/jos/23/14.md

449 B

Na sasa ninaenda katika njia ya dunia yote

Yoshua anatumia neno la upole kurejelea juu ya kifo chake. "Ninakwenda kufa"

mnajua kwa moyo na roho zenu zote

Mahali hapa maneno "moyo" na "roho" yana maana sawa. Kwa pamoja yanatia mkazo juu ya ufahamu wa ndani wa mtu binafsi.

Hakuna hata moja lililoshindikana

Maneno haya yanatia mkazo kwamba ahadi zote za Yahweh zimetimia. Hii pia yaweza kuelezwa kawa kauli kubalifu. "kila neno lilitimia"