sw_tn/jos/23/06.md

529 B

msikengeuke upande wa kulia wala upande wa kushoto

Kitendo cha kutotiii maagizo ya sheria za Musa kinasemwa kana kwamba ni kugeuka upande wa kulia au upande wa kushoto mbali na njia sahihi.

msichanganyikane

Maana zinazokubalika 1)kuwa na urafiki wa karibu nao 2) kuoana nao

msiyataje

kuyasema

miungu yao

Hii inarejelea juu ya miungu ya mataifa yaliyosalia.

kumshika sana Yahweh

"kumshikilia Yahweh kwa nguvu" Kumwamini Yahweh kunasemwa kana kwamba ni kumshikilia kwa nguvu.

hadi leo

"mpaka muda wa sasa"