sw_tn/jos/22/21.md

208 B

Kama ilikuwa ni katika uasi..... basi Yahweh na atuadhibu.

Makabila matatu yanafanya kauli mbili zenye nadharia tete zinazosisitiza kuwa haikuwa kweli. Hawakujenga madhabahu ili kumwabudu mungu mwingine.