sw_tn/jos/21/25.md

518 B

Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, ukoo wa Kohathi walipewa miji miwili - Taanak

Hii inaweza kuelezwa kwa kauli tenda. "Nusu ya kabila la Manesa waliwapa ukoo wa Kohathi mji wa Taahaki."

Taanaki ...Gathirimmoni

Haya ni majina ya miji

miji miwili...miji kumi kwa ujumla

Hesabu ya miji iliyoorodhoshwa

ukoo wa Kohathi... koo za Wakolathi

Makuhani katika kundi hili walikuwa ni wazawa wa mwana wa Lawi aliyeitwa Kohathi. Sehemu yao nyingine walikuwa ni wazawa wa Haruni, ambaye ni mjukuu wa Kohathi.