forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
518 B
Markdown
16 lines
518 B
Markdown
|
# Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, ukoo wa Kohathi walipewa miji miwili - Taanak
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa kauli tenda. "Nusu ya kabila la Manesa waliwapa ukoo wa Kohathi mji wa Taahaki."
|
||
|
|
||
|
# Taanaki ...Gathirimmoni
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya miji
|
||
|
|
||
|
# miji miwili...miji kumi kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Hesabu ya miji iliyoorodhoshwa
|
||
|
|
||
|
# ukoo wa Kohathi... koo za Wakolathi
|
||
|
|
||
|
Makuhani katika kundi hili walikuwa ni wazawa wa mwana wa Lawi aliyeitwa Kohathi. Sehemu yao nyingine walikuwa ni wazawa wa Haruni, ambaye ni mjukuu wa Kohathi.
|