sw_tn/jos/19/40.md

363 B

Upigaji wa kura ya saba

Tafasiri kirai hiki kama ulivyofanya katika 19:1

ya saba

namba ya saba katika orodha

Eneo lao la urithi

Nchi na miji ambayo kabila la Dani liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu,

Zora, Eshitaoli, Iri Shemeshi, 42Shaalabini, Aijaloni, na Ithila

Haya ni majina ya mahali/sehemu