forked from WA-Catalog/sw_tn
343 B
343 B
Upigaji wa kura wa mara ya sita
Tafasiri kirai hiki kama ulivyofanya katika 19:1
ya sita
namba ya sita katika orodha
walipewa kufuatana na koo zao
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao
Helefu...Zaananimu...Adaminekebu...Yabuneeli...Lakumu...Zazinothi Tabori Hukkoki
Haya ni majina ya miji