sw_tn/jos/19/24.md

336 B

Upigaji wa kura ya tano

Tafasiri kirai hiki kama ulivyofanya katika 19:1

wa tano

namba ya tano katika orodha

walipewa kwa koo zao

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao"

Helkathi, hali, Beteni, Akshafu, Allameleki, Amadi, na Mishali..Shihori Libnathhi

Haya ni majina ya sehemu/mahali