sw_tn/jos/19/14.md

16 lines
485 B
Markdown

# Hannathoni...Efta Eli Katathi...Nahalali...Shimroni...Idala...Bethlehemu
Haya ni majina ya sehemu/mahali
# Bethlehemu
Hii siyo ile "Bethlehemu" ambayo iko kusini mwa Yerusalemu katika Yuda.
# Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Zabuloni,
Nchi na miji ambayo kabila la Zabuloni liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu
# waliopewa kwa kufuatana na koo za
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao"