forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
485 B
Markdown
16 lines
485 B
Markdown
# Hannathoni...Efta Eli Katathi...Nahalali...Shimroni...Idala...Bethlehemu
|
|
|
|
Haya ni majina ya sehemu/mahali
|
|
|
|
# Bethlehemu
|
|
|
|
Hii siyo ile "Bethlehemu" ambayo iko kusini mwa Yerusalemu katika Yuda.
|
|
|
|
# Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Zabuloni,
|
|
|
|
Nchi na miji ambayo kabila la Zabuloni liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu
|
|
|
|
# waliopewa kwa kufuatana na koo za
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao"
|