sw_tn/jos/19/14.md

485 B

Hannathoni...Efta Eli Katathi...Nahalali...Shimroni...Idala...Bethlehemu

Haya ni majina ya sehemu/mahali

Bethlehemu

Hii siyo ile "Bethlehemu" ambayo iko kusini mwa Yerusalemu katika Yuda.

Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Zabuloni,

Nchi na miji ambayo kabila la Zabuloni liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu

waliopewa kwa kufuatana na koo za

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao"