sw_tn/jos/19/08.md

496 B

Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simon

Nchi na miji ambayo kabila la Simoni liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu

waliopewa kwa koo zao

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao"

Hii ni kwasababu nchi waliyopewa kabila la Yuda

Sentensi hii inaweza kuelezwa wa muundo tendaji: "Sehemu ya nchi ambayo Yoshua aliigawa kwa kabila la Yuda"

sehemu yao ya katikati

"Katikati ya sehemu ya nchi ya Yuda"