sw_tn/jos/19/02.md

8 lines
277 B
Markdown

# Maelezo ya jumla
Mwandishi anaorodhesha miji ambayo ilikuwa katika nchi ambayo kabila la Simoni waliipokea kama urithi wao.
# Urithi waliokuwa nao
Nchi na miji ambayo kabila la Simoni liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu.