# Maelezo ya jumla
Mwandishi anaorodhesha miji ambayo ilikuwa katika nchi ambayo kabila la Simoni waliipokea kama urithi wao.
# Urithi waliokuwa nao
Nchi na miji ambayo kabila la Simoni liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu.