forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
277 B
Markdown
8 lines
277 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anaorodhesha miji ambayo ilikuwa katika nchi ambayo kabila la Simoni waliipokea kama urithi wao.
|
||
|
|
||
|
# Urithi waliokuwa nao
|
||
|
|
||
|
Nchi na miji ambayo kabila la Simoni liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu.
|