sw_tn/jos/18/25.md

270 B

Maelezo ya jumla

Mwandishi anaendelea kuorodhoshe miji ambayo ilikuwa katika nchi na ambazo kabila ala Benyamini.

Huu ulikuwa ni urithi wa Benyamini

Nchi na miji ambayo kabila l Benyamini walipewa inaongelewa kana kwamba ilikuwa ni urithi kama mali ya kudumu.