sw_tn/jos/18/17.md

343 B

Eni Shemeshi...Gelilothi...Adumimu...Bethi Araba

Haya ni majina ya sehemu/mahali

Jiwe la Bohani

Hili lilikuwa ni jiwe kubwa ambalo mtu fulani aliliweka kama alama na liliitwa kwa jina la mtu aliyeitwa Bohani.

bega la Bethi Araba

Nchi ambayo ina mteremko au mgongo ulioinama inasemwa kana kwamba ni bega. "Mteremko wa Bethi Araba"