forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
413 B
Markdown
16 lines
413 B
Markdown
# alipewa sehemu kumi za nchi
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Yoshua aliwapa sehemu kumi za nchi."
|
|
|
|
# "sehemu kumi"
|
|
|
|
"vipande kumi"
|
|
|
|
# aliupokea urithi
|
|
|
|
Nchi inaongelewa hapa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao watu walilpewa kama mali ya kudumu. "kutupa sisi sehemu ya nchi kama urithi"
|
|
|
|
# Nchi ya Gileadi iligawanywa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. "Yoshua aliwapa nchi ya Gileadi"
|