forked from WA-Catalog/sw_tn
413 B
413 B
alipewa sehemu kumi za nchi
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Yoshua aliwapa sehemu kumi za nchi."
"sehemu kumi"
"vipande kumi"
aliupokea urithi
Nchi inaongelewa hapa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao watu walilpewa kama mali ya kudumu. "kutupa sisi sehemu ya nchi kama urithi"
Nchi ya Gileadi iligawanywa
Hii inaweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. "Yoshua aliwapa nchi ya Gileadi"