forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
602 B
Markdown
20 lines
602 B
Markdown
# Tapua...Kana
|
|
|
|
Haya ni majina ya sehemu
|
|
|
|
# Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Efraimu
|
|
|
|
Nchi ambayo kabila la Efraimu waliimiliki inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu
|
|
|
|
# Walipewa kwa koo zao
|
|
|
|
Maelezo haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwagawia kwa koo zao"
|
|
|
|
# miji yao iliyochaguliwa
|
|
|
|
Maelezo haya yaweza kuelezwa kwa kauli tendaji. Miji ambayo Yoshua alikuwa ameichagua."
|
|
|
|
# iyokuwa ndani ya urithi wa kabila la Manase
|
|
|
|
Nchi ambayo kabila la Manase waliimiliki inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu
|