sw_tn/jos/16/08.md

602 B

Tapua...Kana

Haya ni majina ya sehemu

Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Efraimu

Nchi ambayo kabila la Efraimu waliimiliki inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu

Walipewa kwa koo zao

Maelezo haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwagawia kwa koo zao"

miji yao iliyochaguliwa

Maelezo haya yaweza kuelezwa kwa kauli tendaji. Miji ambayo Yoshua alikuwa ameichagua."

iyokuwa ndani ya urithi wa kabila la Manase

Nchi ambayo kabila la Manase waliimiliki inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu