Eneo la kabila la Efraimu ambalo lilikuwa limegawanya kwa koo zao
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Eneo ...ambalo Yoshua aliwagawia kwa kufuata koo zao."
Atarothi Addari...Bethi Horoni ya juu...Mikimethathi...Taanathi Shilo...Yanoa...Naara
Haya ni majina ya sehemu/mahali