forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
352 B
Markdown
12 lines
352 B
Markdown
# Kabila la Yusufu
|
|
|
|
Kabila la Yusufu liliunganisha makabila ya wana wake wawili, Manase na Efraimu. Kwakuwa nusu ya kabila la Manase lilikuwa limeweka makazi mashariki mwa Yordani, sehemu hii inarejelea kabila la Efraimu na nusu nyingine ya kabila la Manase.
|
|
|
|
# Luzi ...Atarothi
|
|
|
|
Haya ni majina ya mahali
|
|
|
|
# Waarkiti
|
|
|
|
hili ni jina la kikundi cha watu
|