sw_tn/jos/16/01.md

12 lines
352 B
Markdown

# Kabila la Yusufu
Kabila la Yusufu liliunganisha makabila ya wana wake wawili, Manase na Efraimu. Kwakuwa nusu ya kabila la Manase lilikuwa limeweka makazi mashariki mwa Yordani, sehemu hii inarejelea kabila la Efraimu na nusu nyingine ya kabila la Manase.
# Luzi ...Atarothi
Haya ni majina ya mahali
# Waarkiti
hili ni jina la kikundi cha watu