sw_tn/jos/16/01.md

352 B

Kabila la Yusufu

Kabila la Yusufu liliunganisha makabila ya wana wake wawili, Manase na Efraimu. Kwakuwa nusu ya kabila la Manase lilikuwa limeweka makazi mashariki mwa Yordani, sehemu hii inarejelea kabila la Efraimu na nusu nyingine ya kabila la Manase.

Luzi ...Atarothi

Haya ni majina ya mahali

Waarkiti

hili ni jina la kikundi cha watu